Imewekwa: 23 Oct, 2025

Ifuatayo ni Orodha ya waombaji waliochaguliwa kujiunga na  Shahada ya Kwanza ( Bachelor Degree) katika Kampasi ya Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo 2025/2026.

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHAHADA YA KWANZA

📌 MUHIMU:

Ili kupata barua ya kujiunga na chuo pamoja na maelekezo ya msingi (Joining Instructions), muombaji anatakiwa kuingia (login) kwenye akaunti yake ya Online Application System kupitia kiungo:: https://oas.tpsc.go.tz/login/

Tunawatakia maandalizi mema!

Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo