ENGLISH
KISWAHILI
Wasiliana nasi
e-Office
TSIMS
Barua pepe
Maswali
eMrejesho
Mfumo wa Maombi ya Kujiunga (OAS)
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Dira na Dhima
Historia
Malengo
Utawala
Muundo wa Taasisi
Bodi Shauri
Menejimenti
Huduma Zetu
Mafunzo
Kazi za Tafiti
Shauri za Kitaalamu
Kozi tunazotoa
Kozi za Muda Mfupi
Kozi za muda mrefu
Mitihani ya Utumishi wa Umma
Udahili
Sifa za Kujiunga
Ada za Mafunzo
Maombi kwa njia ya Mtandao
Nyaraka
Mpango Mkakati
Mkataba wa Huduma kwa wateja
Sera na Miongozo
Prospectus
By Laws
Taarifa ya Fedha
Tafiti na Machapisho
Machapisho
Tafiti
Kituo cha Habari
Matukio
Hotuba
Taarifa kwa Umma
Maktaba ya Picha
Maktaba ya Video
Makala
Wasiliana nasi
e-Office
TSIMS
Barua pepe
Maswali
eMrejesho
Mfumo wa Maombi ya Kujiunga (OAS)
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akizungumza na wageni waalikwa, wafanyakazi na na wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (hawapo katika picha) walioshiriki kwenye uzinduzi wa albam ya nyimbo za kwaya ya chuo cha utumishi wa umma na harambee iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Sehemu ya wageni waalikwa wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu wakati wa uzinduzi na harambee ya Kwaya ya chuo hicho iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akiwa Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu Dkt. Ernest Mabonesho pamoja wageni waalikwa wakifurahia burudani iliyokuwa inatolewa na kwaya ya Chuo cha Utumishi wa umma wakati wa uzinduzi na harambee ya Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Wanakwaya wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakiimba wakati wa uzindunzi wa albam ya nyimbo za kizalendo na harambee ya kwaya hiyo uliofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akiwa ameshika mfano wa hundi ya fedha iliyochangiwa na Ofisi ya Rais-Utumishi, wakati wa harambee ya kuchangia Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akipokea mfano wa hundi ya fedha kutoka kwa Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu, Dkt. Ernest Mabonesho ikiwa ni mchango wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, wakati wa harambee ya kuchangia Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu (kulia)) akipokea zawadi ya flashi yenye nyimbo 25 za kizalendo za Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania kutoka kwa Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa TPSC, Dkt. Ernest Mabonesho wakati wa uzinduzi na harambee ya kwaya hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Daimond Jubilee jijini Dar es Salaam, Oktoba 18, 2024.
Previous
Next
Dkt. Ernest Francis Mabonesho
Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu
Wasifu
|
Karibu
Matangazo
Tazama Zaidi
Dirisha la III la Maombi Cheti na Diploma Muhula wa Septemba 2024 na Uthibitisho TAMISEMI
10 Oct, 2024
Mwaliko wa maombi ngazi ya Shahada ya Kwanza Muhula wa Septemba 2024
14 Jul, 2024
MITIHANI YA WATUMISHI WA UMMA - AGOSTI, 2024
04 Jul, 2024
MAHAFALI YA 39 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC)
15 Dec, 2023
Matangazo Zaidi
Mafunzo Mafupi
Angalia Zaidi
28
Oct 24
Contemporary secretarial skills and effective management skills.
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Board Performance Evaluation for State-Owned Entities
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Human Resource Management for non-HR Managers
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Cyber Security and Information Intelligence Workshop
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Defensive Driving for Drivers and Transport Officers
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Defensive Driving for Drivers and Transport Officers
28 Oct, 2024
28
Oct 24
Effective Meeting Management, Minute Taking and Presentation Skills
28 Oct, 2024
Tazama Kozi fupi zote
Pakua
Angalia Zaidi
01 Jul, 2024
Taarifa ya Fedha 2022/2023
27 Aug, 2024
Short Course Training Calendar 2024/2025
20 May, 2024
MIAKA MITATU YA SAMIA
20 Mar, 2024
TPSC dreaming of days as a centre of excellence
19 Dec, 2023
Waziri Simbachawene awaonya Watumishi kuwadharau Wananchi
Nyaraka zaidi
Huduma Mtandao
Tazama Zaidi
ARIS
Mfumo wa Maombi ya Kujiunga (OAS)
MUSE
PlanRep
PEPMIS
eOffice
Barua Pepe za Serikali
TPSC Campuses and Centers
Kampasi ya Singida
Kituo cha Mafunzo kwa Njia ya Mtandandao
Kampasi ya Mtwara
Kampasi ya Tabora
Kampasi ya Mbeya
Kampasi ya Tanga
Kampasi ya Dar es Salaam
Habari Mpya
Tazama Zaidi
NAIBU WAZIRI SANGU AIPONGEZA KWAYA YA TPSC KWA KUIMBA UZALENDO, AIZINDUA RASMI NA KUONGOZA HARAMBEE...
19 Oct, 2024
TPSC YAWEZESHA MAFUNZO YA KIDIGITI KWA WATUMISHI WA MAHAKAMA 1,829
29 Feb, 2024
Mahafali ya TPSC
15 Jan, 2024
MHE.SIMBACHAWENE ASEMA UTUMISHI WA UMMA NI KUJITOA KUHUDUMIA WATU
13 Dec, 2023
Feedbacks
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha