A:Mchanganuo wa Ada. 

Na. Jina la Kozi Ada kwa Mwaka (Tsh)
1.  Astashahada/Cheti cha Awali katika Usimamizi Rasilimali Watu 900,000/=
2.  Astashahada/Cheti cha Awali katika Utawala wa Umma 900,000/=
3.  Astashahada/Cheti cha Awali katika Uhazili 900,000/=
4.

 Astashahada/Cheti cha Awali katika Utunzaji wa Nyaraka na Kumbukumbu.

900,000/=
5.  Astashahada/Cheti cha Awali katika Usimamizi wa Ununuzi na Ugavi 900,000/=
6.  Diploma ya Usimamizi wa Rasilimali Watu. 1,100,000/=
7.  Diploma ya  katika Utawala wa Umma 1,100,000/=
8.

 Diploma ya Uhazili

1,100,000/=
9.  Diploma ya  Utunzaji wa Kumbukumbu, Nyaraka na Taarifa 1,100,000/=
10.  Diploma ya Usimamizi wa Ununuzi na Ugavi 1,100,000/=
11.  Shahada ya Utunzaji wa Kumbukumbu, Nyaraka na Taarifa 1,465,000/=
12.  Shahada ya Uhazili na Utawala 1,465,000/=

 

B: Awamu za malipo.

Jumla ya Ada kwa NTA level 4 (cheti) ni TZS 900,000/= kwa mwaka; kwa kozi za NTA level 5 & 6  (Diploma) ni TZS. 1,100,000/= kwa mwaka; na kwa kozi za shahada ya kwanza ni TZS. 1,465,000/= kwa mwaka (mwaka wa kwanza na wa pili) na TZS. 1,515,000/= kwa mwaka wa tatu. Chuo kinaweza kukubali kupokea malipo kwa awamu kama ifuatavyo:-

 Ngazi

Kiasi cha Ada

Muda wa Kulipa

 Astashahada/Cheti cha 

 Awali

 Muhula wa kwanza; TZS 500,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa kwanza

 Muhula wa pili; TZS 400,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa pili

 Diploma mwaka wa

 kwanza

 Muhula wa kwanza; TZS 600,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa kwanza

 Muhula wa pili; TZS 500,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa pili

 Diploma mwaka wa

 pili

 Muhula wa tatu; TZS 600,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa tatu

 Muhula wa nne; TZS 500,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa nne

 Shahada ya kwanza

(mwaka wa kwanza)

 Muhula wa kwanza; TZS 765,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa kwanza

 Muhula wa pili; TZS 700,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa pili

 

Shahada ya kwanza

(mwaka wa pili)

 Muhula wa tatu; TZS 765,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa tatu

 Muhula wa nne; TZS 700,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa nne

Shahada ya kwanza

(mwaka wa tatu)

 Muhula wa tano; TZS 815,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa tano

 Muhula wa sita; TZS 700,000/=

 Kabla ya kujisajili muhula wa sita
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo