13 Nov, 2024 08:30 AM-02:00 PM MBEYA CAMPUS

Mahafali ya arobaini (40) ya Chuo cha Utumishi wa Umma kwa Kampasi zote yanatarajiwa kufanyika   siku ya Ijumaa, tarehe 6 Desemba 2024 katika ukumbi wa Mkapa uliopo eneo la Sokomatola, jijini Mbeya kuanzia saa tatu (03.00) Asubuhi.

Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb).

WOTE MNAKARIBISHWA

MAHAFALI YA 40 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo